Sunday 27 June 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

WAHENGA WALISEMA: "Majuto ni Mjukuu.........."
“Ilikuwa muhimu sisi kupata bao la pili. Sielewi kwanini wakati huu tuna teknolojia ya hali ya juu, tunazungumzia hili. Tulicheza vizuri tulipokuwa 2-1 nyuma lakini tulistahili kuwa 2-2 lakini Germany ni timu kubwa na walicheza vizuri na sisi tulifanya makosa lakini Refa ndie aliefanya kosa kubwa! Hii ni Soka!”
Maneno ya Kocha wa England Fabio Capello mara ya baada ya kubwagwa nje ya Kombe la Dunia kwa kichapo cha 4-1 na Germany huku akijutia Refa Jorge Larrionda wa Uruguay kutoliona bao la England lililovuka mstari wa goli ‘maili moja’ ndani.

No comments:

Powered By Blogger