Friday 2 July 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

Man City yafungua Benki, yamchota Yaya Toure
Ndani ya wiki moja baada ya kumnasa David Villa kutoka Valencia, Manchester City imemchukua Yaya Toure kutoka FC Barcelona na sasa ataungana na Ndugu yake, Kolo Toure, ambae ni Nahodha wa Man City.
Meneja wa Man City Roberto Mancini amethibitisha habari hizi kwa kutamka: "Huu ni usajili mzuri kwetu kwani kila Mtu anajua Yaya ni Mchezaji mzuri aliecheza Barca kwa kiwango cha juu!”
Ada ya kumsajili Yaya Toure, Miaka 28, haikutajwa ingawa inavumishwa ni Pauni Milioni 28.
Man City tayari pia washamchukua Beki wa Ujerumani Jerome Boateng toka Hamburg na wapo mbioni kumsajili James Milner wa Aston Villa.

No comments:

Powered By Blogger