Tuesday 29 June 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

Matuta yaifikisha Paraguay Robo Fainali!
Dakika 120 ngoma kati ya Paraguay na Japan ilikuwa 0-0 na ndipo ikaja tombola ya penalti na Paraguay wakaibwaga Japan kwa penalti 5-3.
Japan walikosa penalti moja baada ya shuti la Komano kugonga posti na penalti ya mwisho hawakuipiga kwani Paraguay alikuwa tayari Mshindi.
Kwenye Robo Fainali, Paraguay atacheza na Mshindi kati ya Spain na Ureno zinazocheza baadae leo.

No comments:

Powered By Blogger