Thursday 12 November 2009

Algeria watua Cairo, mvua ya mawe yawakaribisha!!
Timu ya Taifa ya Algeria leo imetua Cairo, Misri kwa ajili ya pambano lao la Jumamosi kumpata mmoja atakaenda Fainali Kombe la Dunia mwakani huko Afrika Kusini na walipoingia tu Hotelini kwao na Basi llilowachukua toka Uwanja wa Ndege walikaribishwa na mvua kubwa ya mawe yaliyovurumishwa na Genge la Vijana karibu 200 waliokuwa wanasubiri nje ya Hoteli hiyo.
Inasemekena Wachezaji watatu wa Algeria wamejeruhiwa ingawa hali zao si mbaya.

FIFA wamejulishwa kuhusu mkasa huo.

No comments:

Powered By Blogger