Saturday 14 November 2009

KIMBEMBE CHA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2010!!!
Afrika kujua leo Nchi 3 zitakazoungana na Wenyeji Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali!!!
Wakati Bara la Afrika leo linategemewa kuzipata Nchi 3 zitazojumuika na Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini kuanzia Juni 11 mwakani, Mabara ya Ulaya na Marekani leo wanacheza mechi zao za kwanza na kurudiana Jumatano Novemba 18 ili kupata washindi wakatakaoenda Fainali.
Kwa Afrika, Timu zinazogombea Nafasi hizo 3 ni ama Cameroun au Gabon toka KUNDI A, Tunisia au Nigeria toka KUNDI B, Misri au Algeria toka KUNDI C. 
RATIBA:
Afrika
Novemba 14
Mozambique v Tunisia
Togo v Gabon
Morocco v Cameroun
Rwanda v Zambia
Kenya v Nigeria
Burkina Faso v Malawi
Ivory Coast v Guinea
Egypt v Algeria
Sudan v Benin
Novemba 15
Ghana v Mali
Marekani
Novemba 14
Costa Rica v Uruguay
Ulaya
Novemba 14
Urusi v Slovenia
Republic of Ireland v Ufaransa
Greece v Ukraine
Ureno v Bosnia-Herzegovina

No comments:

Powered By Blogger