Tuesday 10 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Wenyeji Nigeria na Spain waingia Nusu Fainali!!!
Nigeria ambao ndio wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia kwa Vijana Chini ya Miaka 17 wamefanikiwa kuingia Nusu Fainali baada ya kuifunga South Korea 3-1.
Katika Robo Fainali nyingine iliyochezwa jana, Spain waliitoa Uruguay kwa penalti 4-2 baada ya mechi kwisha bao 3-3.
Nigeria watakutana na Spain kwenye Nusu Fainali.
RATIBA NUSU FAINALI:
Alhamisi, Novemba 12:
Colombia v Uswisi
Nigeria v Spain 

No comments:

Powered By Blogger