Sunday 8 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Colombia kuikwaa Uswisi Nusu Fainali!!
Colombia na Uturuki zilitoka sare 1-1 hadi dakika 120 na mshindi akapatikana kwa matuta na Colombia amepita kwa penalti 5-3.
Katika mechi nyingine ya Robo Fainali, Uswisi imeitoa Italy 2-1 na hivyo kukutana na Colombia kwenye Nusu Fainali tarehe 12 Novemba 2009.
RATIBA Jumatatu Novemba 9:
ROBO FAINALI
Spain v Uruguay
Nigeria v South Korea
WASHINDI WA MECHI HIZI WATAKUTANA NUSU FAINALI.

No comments:

Powered By Blogger