Thursday 12 November 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Wenyeji Nigeria wametinga Fainali na watakumbana na Uswisi.
Kwenye mechi ya kwanza ya Nusu Fainali, Uswisi waliwang'oa Colombia 4-0 na wakafuata Wenyeji Nigeria waliowapiga Spain 3-1 kwenye Nusu Fainali ya pili.
Fainali itachezwa Jumapili, Novemba 15.

No comments:

Powered By Blogger