WWW.SOKAINBONGO.COM

Wadau,
Tuko mbioni kutengeneza Tovuti www.sokainbongo.com ambayo itakuwa na kila habari za soka zikiwemo pia za bongo.
Tunakaribisha maoni, mawaidha na michango yenu ili kufanikisha uandaaji na utengenezwaji wa hiyo tovuti.
Shukran,
stormingfohadi

Sunday, 8 November 2009

Yemen 1 Bongo 1
Leo Timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kushushiwa kipigo cha 5-1 na Misri siku ya Jumatano, ilikuwa Nchini Yemen kucheza na Wenyeji wao na mechi kuisha sare 1-1.
Mpaka haftaimu ngoma ilikuwa 0-0.
Kipindi cha pili, Bongo walifunga dakika ya 68  kupitia Mchezaji alietajwa ni Poko na Yemen wakasawazisha dakika ya 79 Mfungaji akiwa Ali Mubarak.

0 comments:

Loading...