Sunday 8 November 2009

Yemen 1 Bongo 1
Leo Timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kushushiwa kipigo cha 5-1 na Misri siku ya Jumatano, ilikuwa Nchini Yemen kucheza na Wenyeji wao na mechi kuisha sare 1-1.
Mpaka haftaimu ngoma ilikuwa 0-0.
Kipindi cha pili, Bongo walifunga dakika ya 68  kupitia Mchezaji alietajwa ni Poko na Yemen wakasawazisha dakika ya 79 Mfungaji akiwa Ali Mubarak.

No comments:

Powered By Blogger