Wednesday 25 August 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

MATOKEO:
UEFA CHAMPIONS LIGI: Hatua ya Mchujo kuingia Makundi-Mechi za Marudiano
Timu za Partizan Belgrade, Basle, Hapoel Tel-Aviv, Werder Bremen na Braga zimefuzu kuingia kwenye Kapu la Droo ya kupanga Makundi ya UEFA CHAMPIONS LIGI baada ya kushinda Mechi zao hapo jana.
Timu hizo 5 zitaungana na Washindi wa tano wa Mechi za leo kwenye Droo hiyo itakayojumuisha Vigogo wengine wa Ulaya kama vile Mabingwa Watetezi Inter Milan, Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Manchester United, Arsenal na kadhalika.
MATOKEO KAMILI:
Anderlecht 2 v Partizan Belgrade 2, (Jumla ya Magoli kwa mechi mbili 4-2, Penalti 2-3)
FC Sheriff Tiraspol 0 v Basle 3, (0-4)
Hapoel Tel-Aviv 1 v Red Bull Salzburg 1, (4-3)
Sampdoria 3 v Werder Bremen 2, (4-5)
Sevilla 3 v Braga 4, (3-5)
EUROPA LIGI: Hatua ya Mchujo kuingia Makundi-Mechi za Marudiano
Anorthosis Famagusta 1 v CSKA Moscow 2, (1-6)
MECHI ZA LEO:
Jumatano, 25 Agosti 2010
UEFA CHAMPIONS LIGI:Hatua ya Mchujo kuingia Makundi-Mechi za Marudiano
Ajax v Dynamo Kiev, (Mechi ya kwanza 1-1)
Auxerre v Zenit St Petersburg, (0-1)
FC Copenhagen v Rosenborg, (1-2)
MSK Zilina v Sparta Prague, (2-0)
Tottenham v Young Boys, (2-3)

No comments:

Powered By Blogger