Friday 27 August 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

EUROPA LIGI: Makundi yapangwa!
Makundi ya Mashindano ya EUROPA LIGI yamepangwa katika Droo iliyofanyika leo huko Monaco na Timu za England, Manchester City na Liverpool, zipo kwenye Makundi magumu.
Kila Kundi lina Timu 4 na Timu mbili za juu ndizo zinazosonga mbele.
Manchester City wako pamoja na Vigogo wa Italia Juventus na Liverpool wako na Timu ngumu za Steau Bucharest ya Romania, Napoli ya Italia na Utrecht ya Uholanzi.
Mechi za kwanza zitaanza Septemba 16.
MAKUNDI:
KUNDI A:
Juventus
Manchester City
Salzburg
Lech Posnan
KUNDI B:
Atletico Madrid
Bayer Leverkusen
Rosenburg
Thessaloniki
KUNDI C
Sporting
Lille
Levski Sofia
Gent
KUNDI D
Villarreal
Club Brugge
Dinamo Zagreb
PAOK
KUNDI E
Alkmaar
Dinamo Kiev
BATE Borisov
FC Sheriff
KUNDI F
CSKA Moscow
Palermo
Sparta Prague
Lausanne
KUNDI G
Zenit St Petersburg
Anderlecht
AEK Athens
Hajduk Split
KUNDI H
Stuttgart
Getafe
Odense
Young Boys
KUNDI I
PSV Eindhoven
Sampdoria
FC Metalist Kharkiv
Debreceni
KUNDI J
Sevilla
PSG
Borussia Dortmund
Karpaty Lviv
KUNDI K
Liverpool
Steaua Bucharest
Napoli
Utrecht
KUNDI L
Porto
Besiktas
CSKA Sofia
Rapid Vienna
Barca wampata Mascherano
Liverpool imemuuza Kiungo Javier Mascherano kwa Barcelona kwa dau linalosadikiwa kuwa Pauni Milioni 17 na habari hizi zimethibitishwa na taarifa katika tovuti ya Barcelona ingawa tamko hilo limesema taarifa zaidi zitatolewa baada ya Mchezaji huyo kufuzu upimaji afya yake.
Mascherano alijunga na Liverpool Mwaka 2007 akitokea West Ham lakini tangu Msimu uliokwisha alionyesha nia yake kutaka kuihama Liverpool.

No comments:

Powered By Blogger