CHEKI: www.sokainbongo.com
Fergie aitwa kama Shahidi!!

Queiroz, ambae alikuwa Msaidizi wa Ferguson kwa Miaka mitano huko Old Trafford, amekana shutuma hizo ambazo akipatikana na hatia nazo huenda akafukuzwa kama Kocha wa Ureno.
Katika utetezi huo, Ferguson alitamka: “Ni Kocha Bora na Mwalimu mzuri na lengo lake maishani ni kuwaendeleza Vijana, kuwapa msukumo na kuhakikisha wanakuwa Watu wema na ndio maana nipo hapa kumtetea kwa vile pia namjua vyema na ni Mtu mwenye utiifu na heshima kubwa! Carlos ni mmoja wa Watu wema!”
No comments:
Post a Comment