Thursday 19 August 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com


Gallas kutua Spurs
Nahodha wa zamani wa Arsenal, William Gallas, anatarajiwa kupimwa afya yake Tottenham Hotspurs kesho Ijumaa huku Klabu kadhaa zikiwa zinamwinda zikiwemo Juventus ya Italia na Panathinaikos ya Ugiriki.
Gallas, Miaka 33, alimaliza Mkataba wake na Arsenal mwishoni mwa Msimu uliopita na Meneja wa Tottenham, Harry Redknapp akatangaza nia yake kumchukua.

No comments:

Powered By Blogger