Saturday 21 August 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

Wigan 0 Chelsea 6
Leo Chelsea wakicheza ugenini Uwanja wa DW waliendeleza ubabe wao Ligi Kuu kwa kuichapa Wigan kwa mabao 6-0 huu ukiwa ushindi wao wa pili mfululizo baada ya kuwachapa West Bromwich 6-0 wiki iliyopita.
Kwa Wigan hiki ni kipigo chao cha pili mfululizo hapo kwao DW baada ya kupigwa 4-0 na Blackpool Wiki iliyopita.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Malouda, Anelka, bao mbili, Kalou, bao mbili na Benayoun.

No comments:

Powered By Blogger