Saturday 26 June 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

Kaiser aomba radhi
Mkongwe wa Ujerumani Franz Beckenbauer ameomba radhi kwa kauli zake za kuikandya England huku Timu hizi zikitegemewa kucheza Jumapili Juni 27 kwenye mechi ya Raundi ya Pili ya Kombe la Dunia.
Beckenbauer, aliewahi kushinda Kombe la Dunia kama Mchezaji na baadae kama Kocha akiwa na Ujerumani, alidaiwa kuisema England ni wapumbavu na wachovu.
Sasa amefuta kauli hizo na kudai zilimtoka tu baada ya kufadhaishwa na uchezaji wa hali ya chini wa England.

No comments:

Powered By Blogger