Monday 21 June 2010

CHEKI: www.sokainbongo.com

Maradona amshangaa Refa mechi ya Brazil
Diego Maradona amelielezea goli la pili la Brazil alilofunga Luis Fabiano dhidi ya Ivory Coast katika ushindi wa 3-1 kuwa la ‘mikono dabo’ na pia ilimstua kumwona Refa Stephane Lannoy kutoka Ufaransa akicheka na Luis Fabiano mara baada ya goli hilo.
Maradona, ambae ni Kocha wa Argentina, aliwahi kufunga goli kwa mkono katika Fainali za Kombe la Dunia Mwaka 1986 huko Mexico Argentina ilipocheza na England na akaliita goli hilo kuwa ni goli la ‘mkono wa Mungu’ ameonyesha kushangazwa na goli la Fabiano na pia kitendo cha Refa huyo akicheka na Fabiano mara baada ya goli hilo.
UEFA yatoa Ratiba ya Raundi za Mtoano za Awali za UEFA CHAMPIONS LIGI
UEFA imetangaza Ratiba ya Raundi mbili za awali za Mtoano wa UEFA CHAMPIONS LIGI ambazo hushirikisha Timu ndogo.
Ratiba hiyo ni:
Raundi ya Kwanza ya Mtoano [Juni 29/30 na marudio Julai 6/7]
Tre Fiori v Rudar
Santa Coloma v Birkirkara
Raundi ya Pili ya Mtoano [Julai 13/14 na marudio Julai 20/21]
Liepajas Metalurgs v Sparta Prague
Aktobe v Olimpi Rustavi
Levadia Tallinn v Debrecen
Partizan Belgrade v Pyunik
Inter Baku v Lech Poznan
Dinamo Zagreb v Koper
Liteks Lovetch v Tre Fiori/Rudar
Santa Coloma/Birkirkara v MSK Zilina
FC Sheriff v Dinamo Tirana
Hapoel Tel-Aviv v Zeljeznicar
Omonia Nicosia v Renova
Red Bull Salzburg v HB
Bohemians v TNS
BATE v FH
AIK v Jeunesse Esch
Linfield v Rosenborg
Ekranas v HJK Helsinki

No comments:

Powered By Blogger